Mkurugenzi wa kampuni ya MUMAU K.C.Y iliyopo Morogoro/Mlimba/Mpanga Mission
Mh,Bruno Wicki. Anatangaza rasmi kutoa Punguzo la ada ,kwa wanafunzi wanaopenda kujiuunga na masomo ya computer / computer training course ,kwa jinsia zote.
Punguzo la bei ni kwa asilimia 50%
- Mwanafunzi atasoma kwa gharama ya Tsh 50000/=.Kwa mwezi mmoja.
- Makazi yapo kwa wanafunzi wanaotoka mbali.
- Kwa mawasiliano zaidi , wasiliana kupitia namba zilizopo kwenye picha hapo chini.
Tembelea ukurasa wa facebook ,https://web.facebook.com/yordan.djyd

Maoni
Chapisha Maoni